Thursday, November 24, 2016

Clinic Ya Mafunzo Maalumu Kwa Madaraja Ya Brown Belt na Chini Yake

Oss!
Salaam!
Tarehe 27/11/2016 Siku Ya Jumapili Pale Kawe Hombu Dojo, Mida Ya Kuanzia Saa Nne Na Nusu (10:30 Am) Asubuhi Mpaka Saa Saba Na Nusu (13:30) Mchana. Kutakuwa Na Clinic Maalum Ya Mafunzo Ya Kata Mbalimbali, Na Mafunzo Hayo Yataendeshwa Na Mkufunzi Mkuu Na Mahiri, Dr. Phillip Chikoko " Shihan"

Walengwa Ni Brown Belts Pamoja Na Wengine Waliyo Chini Ya Ngazi Hiyo.

Ada Ya Clinic Hii Ni Tsh. 1,500/= Kwa Kila Mhudhuliaji Mwanachama.

Tafadhali Mjuze Na Mwingine Juu Ya Ujumbe Huu!
Oss.

Mawasiliano:
+255 716 823 404
Mwenyekiti wa Habari, Mawasiliano, Mahusiano na Uwenezi SKITA

No comments: