Saturday, January 2, 2016

Maandalizi kwa ajili ya mitihani ya dan yanaendelea (leo Kawe ccm)

Maandalizi ya wafanya mitihani ya dan, Brown belts and black belts. Yataendelea leo hii (3rd January 2016) saa 8 mchana, kawe ukumbi wa ccm. Chini ya mkufunzi mkuu wa karate ya kimataifa Tanzania (SKITA) Sensei Dr. P. Chikoko

No comments: