Wednesday, March 23, 2016

Mitihani ya Mikanda ya kyu

Daraja lililofanya vizuri zaidi kuliko mengine ni kyu ya 5 yani mkanda wa bluu, wote walipita kwenye mtihani wao
wakiwa na mkufunzi mkuu wa karate Tanzania Shihan Dr. P. Chikoko (katikati) pamoja na Katibu mkuu wa chama cha karate Tanzania SKIF Sensei Kudra (kushoto)

No comments: