Sunday, September 25, 2016

Kikao cha kamati Tendaji

Kikao cha kamati tendaji ya SKITA chini ya Rais na mkufunzi mkuu wa Karate Tanzania SKIF Dr. Philip K. Chikoko. Wakiwemo viongozi wengine wajuu wa taasisi kama mwenyekiti (Bw. D. Mwakibete) na Katibu mkuu (Bw. M. Mwashilindi). Pia na baadhi ya waalimu na karate-ka wa ngazi za juu Tanzania SKIF.
Wakijadili maswala ya ufundi, uongozi/utawala na dira ya taasisi hii kubwa ya kimataifa

25/09/2016

No comments: